Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Gabo aiponda 'Bongo Movie' ya sasa

Wednesday , 2nd Nov , 2016

Msanii wa filamu Gabo Zigamba amesema sanaa ya sasa siyo kama ya zamani, na kuna utofauti mkubwa kati ya zama hizo mbili

Gabo Zigamba akiwa Kikaangoni

 

Akijibu maswali ya wananchi kupitia kipindi cha #KIKAANGONI kupitia ukurasa wa facebook wa East Africa Television, Gabo Zigamba amesema sanaa ya sasa ina ujanja ujanja mwingi ingawa inalipa tofauti na ya zamani.

“Sanaa ya zamani ilikuwa ya ukweli lakini haikuwa na maslahi, sanaa ya sasa imekuwa kama ya ujanja ujanja lakini ina maslahi, kwa hiyo sasa hivi tunaweza kuingiza pesa nyingi tofauti na zamani”, alisema Gabo.

Gabo ambaye alijipatia umaarufu mkubwa kwa kuigiza kwenye lafudhi ya Kimakonde, amesema pamoja na umaarufu alionao, hajajutia kuwa maarufu kwani ameweza kutumia fursa hiyo kujitengenezea pesa zaidi, tofauti na baadhi ya wasanii ambao wamekuwa wakisema wanajuta kupata umaarufu, kwani unawanyima uhuru wa kufanya baadhi ya mambo.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu