Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli ni kiongozi mkali - Bashe

Wednesday , 21st Sep , 2016

Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini kupitia tiketi ya CCM Hussein Bashe amesema Rais Dkt. John Magufuli siyo 'dikteta' kama baadhi ya watu wanavyosema bali ni kiongozi mkali anayeshughulikia mambo ambayo yalikuwa yamezoeleka nchini.

Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe, alipokuwa KIKAANGONi, leo

Akizungumza katika kipengele chaKIKAANGONI kinachorushwa LIVE kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV, Bashe ameweka bayana kwamba kwa watu ambao walizoea kupiga dili kwa sasa hivi wamekwama mdiyo maana wanalalamika kuwa ni dikteta.

“Rais Dkt. John Magufuli siyo 'dikteta' kama maana halisi ya dikteta ilivyo , ila ni kiongozi ambaye ni mkali ambaye anapingana na mambo ya kufanya mambo kwa mazoeza 'Business as usual' waliokuwa wamezoea kupiga dili bandarini kwa siku mtu alikuwa anapata laki moja au mbili sasa hiyo imekoma” Amesema Bashe.

Aidha kuhusu baadhi ya wananchi kulalamika kwamba pesa hazionekani mtaani, Mbunge Bashe amesema kipindi alipoingia katika uongozi Rais Benjamin Mkapa wananchi walilalamika kwamba pesa zimepotea ila baada ya muda uchumi ukaimarika hivyo kwa sasa wananchi waipe muda serikali ya Rais Dkt John Magufuli.

Kuhusu jitihada za kuleta maendeleo Jimboni kake, Bashe ameeleza namna aambavyo ameanza kusaidia vijana ambapo baadhi ya vijana wanaofanya kazi ya kushona wamepelekwa Moshi kujifunza namna ya kutengeneza viatu vya ngozi kwa kuwa jimboni humo anatarajia kujenga kiwanda kidogo cha ngozi.

Pamoja na hayo Bashe amewataka wawekezaji ambao wanataka kwenda kuwekeza katika jimbo lake kwenda kwa kuwa watapatiwa ushirikiano wa kutosha na eneo la ardhi tayari lipo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine