Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kama wewe ni bahili, fahamu njia rahisi ya kutusua

Tuesday , 21st May , 2019

Suala la kutunza pesa inaonekana kuwa ni changamoto kubwa sana kwa watu wengi, hii ni kutokana na kushindwa kujizuia na matumizi ambayo kwa kawaida yapo kila siku.

Kibubu

Japo katika jamii zetu kumekuwepo na baadhi ya makabila ambayo yanasifika kwa kutunza pesa zao wanazozipata, kwa namna nyingine huitwa 'wabahili'. Lakini ukweli ni kwanba mtu yoyote anaweza kutunza pesa zake akiamua kutokana na malengo aliyejiwekea.

Katika kipindi cha DADAZ cha EATV, Dkt. Hilderd Brandi Shayo ambaye ni Mtafiti na Mshauri wa Biashara na Uchumi Mbobezi wa bara la Afrika na Ulaya ameelezea njia nzuri ya kufanikiwa kwa wale wanaoweza kubana matumizi 'wabahili'.

Dkt. Shayo amesema kuwa mtu akiwa bahili na akapanga malengo yake ya kuyafikia baada ya kipindi fulani basi anao uwezekano mkubwa wa kufanikiwa.

Aidha amezungumzia namna nzuri ya ku'balance' matatizo ya ya kifamilia na malengo ya mtu aliyojiwekea ili kuweza kufanikiwa, "namna nzuri ya kuwasaidia ndugu zako, usiwape samaki, bali wape mshipi na ndoano waende wakavue wenyewe, hapo utakuwa umewasaidia na mwisho wa siku utakaa utaanza kuhesabu kuwa nimewsaidia watu fulani na wenyewe wataweza kuwasaidia wengine".

Tazama hapa chini Dkt. Shayo akizungumzia zaidi suala hilo.

 

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu