Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Umama wapigwa marufuku

Wednesday , 17th Oct , 2018

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimepinga vikali matumizi ya neno 'umama' katika mitandao ya kijamii kwa kile kilichodaiwa kuwa ni ubaguzi na udhalilishaji.

Tamko lililotolewa na kituo hicho limesema kuwa kwa kufanya hivyo neno hilo linahalalisha kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu, kwani mambo yanayofanywa na wanaume hata wanawake wanaweza kufanya pia.

"Mfano kuna hii sentensi, 'mwanaume kulea mtoto ni umama, mwanaume ni kubebesha mimba' kitu ambacho kinalenga ni udhalilishaji hivyo basi, kwa pamoja tuwajibike kupinga udhalilishaji kwa wanawake", imesema taarifa hiyo.

Neno 'umama' limeibuka siku za hivi karibuni katika mitandao ya kijamii, likijikita katika kuelezea namna ambavyo mwanaume anatakiwa kufanya vitu tofauti na wanawake kwa kutaja baadhi ya vitu ambavyo wanawake hawapaswi kuvifanya, jambo ambalo halina ukweli wowote.

Mbali na LHRC, mwingine ambaye amepingana na matumizi ya neno hilo ni Wakili msomi, Albert Msando ambaye alionesha kukerwa na msemo huo na kuandika maneno haya katika ukurasa wake wa Instagram,

"Aliyeanzisha huu utani (meme) wa ‘umama’ na wanaondelea nao nadhani wanasahau kwamba kama sio mama zetu basi tusingekuwa hapa tulipo. Ni upuuzi ni sentensi ambayo inamdhalilisha mwanamke. Kabla hujatunga sentensi na kutaka iwe ‘meme’ basi jiulize kama unaona aibu mama yako kuwa mama, utani huu unaonyesha ni jinsi gani bado ‘wanaume’ wanajiona wao ni bora kuliko wanawake".

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine