Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafukua maiti kuiombea ifufuke

Wednesday , 9th Jan , 2019

Familia moja huko Naivasha nchini Kenya, imeshangaza umma baada ya kuufukua mwili wa mtoto wao aliyefariki wiki iliyopita, kwa lengo la kumuombea afufuke.

Mama wa mtoto huyo ambaye alifariki kwa ajali akiwa na mwaka mmoja tu, aliita wachungaji na kisha kwenda kufukua maiti hiyo ambayo ilikwisha zikwa, na kuanza kufanya maombi ya kumfufua, jambo ambalo liliwashangaza wakazi wa eneo hilo waliodhani ni imani au ushirikina, na kuamua kuita polisi.

Jeshi la Polisi katika eneo la Naivasha lilifika eneo husika na kuwatia nguvuni wahusika wa tukio hilo, wakisema kwamba wamewakamata kwa kitendo cha kufukua mwili wa marehemu bila kibali cha serikali.

“Hatuna shida na imani, shida yetu ni tendo ambalo limefanyika, kwamba walifukua mwili bila kuwa na idhini ya serikali ya kufukua mwili, hivyo tunawashukuru watu wa eneo hili kwa taarifa, na pia poleni, sasa tunaangalia labda tutayafanya haya mazishi tena”, alisikika Mkuu wa Polisi Naivasha akiwaambia wakazi waliofika kushuhudia tukio hilo lililowaacha midomo wazi.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine