Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakamatwa kwa kufunga kamera

Friday , 22nd Mar , 2019

Watu wawili wamekamatwa na wengine wanaendelea kuchunguzwa, kufuatia tukio la kurekodi watu zaidi ya 1600 wakiwa ndani ya vyumba vya hoteli, kwa kuwafungia kamera kinyume na sheria.

Tukio hilo ambalo limetokea huko Korea Kusini, limeelezwa kwamba kuna watu waliwalipa wahudumu wa hoteli ili kufunga kamera za siri ndani ya vyumba 42, ambavyo viko kwenye hoteli 30 ndani ya miji 10 ya nchi hiyo.

Jinsi zilivyowekwa

Kamera hizo zilifichwa kwenye runinga, socket za ukutani na drayer la nywele, zilikuwa zikirekodi matukio yote yaliyokuwa yakiendelea ndani ya vyumba hivyo, na kuyarusha moja kwa moja live kwa watu hao.

Site hiyo ambayo video zilikuwa zikioneshwa ilikuwa na wanachama 4000, 97 kati yao walilipia ada ya dola 44.95 kwa mwezi ambazo ni sawa na zaidi ya laki moja ya Kitanzania, na huku wakiwa na uwezo wa kucheza tena mara baada ya kurushwa.

Polisi nchini humo imesema kati ya mwezi November 2018 hadi mwezi huu, mtandao huo ulikuwa umeshaingiza kiasi cha dola 6,000, ambazo ni zaidi ya milioni 14 za Tanzania.

Tukio hilo limeelezwa kuwa si la kwanza nchini humo, baada ya kuwepo kwa matukio ya aina hiyo mara kwa mara, ambapo kamera zimekuwa zikifungwa hadi kwenye vyoo vya umma.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine