Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wavamia eneo la Makaburi na kufanya makazi

Friday , 25th Jan , 2019

Wakazi wa mtaa wa Pakacha, Tandale jijini Dar es salaam wamelalamikia eneo la Itongo  katika mtaa huo lilitengwa maalum kwa ajili ya maziko ya watu kuvamiwa na watu na kuanza ujenzi wa makazi.

Pichani wakazi wa eneo hilo.

Wakiongea na KURASA, wananchi hao wameeleza hofu waliyonayo ya ujenzi huo kama utakuwa endelevu kuwa miili ya marehemu hao inaweza ikafukuliwa na kukosa mahala pa kuhifadhiwa.

Kwa upande wake mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Pakacha, Bw. Kasim Omari amesema ameshatoa maelekezo juu ya ujenzi unaoendelea katika eneo hilo la makaburi na kwamba hakuna mwili wa marehemu, uliohifadhiwa katika makaburi hayo utakaofukuliwa kutokana na ujenzi.

"Eneo lile lilikuwa ni la familia na wanaojenga ni wanafamilia, hivyo hakuna uvamizi wowote lakini, nimeshatoa maelekezo wasiendelee kujenga katika eneo hilo", amesema Mwenyekiti huo.

Akiwa mkoani Kilimanjaro mwaka jana Waziri wa Ardhi, William Lukuvi alipiga marufuku, watu kufanya maziko majumbani badala yake watumie maeneo yaliyotengwa na serikali.

Bofya link hapo chini kutazama eneo hilo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine