Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Whatsapp na Facebook za sababisha mauwaji

Thursday , 4th Oct , 2018

Msichana mmoja raia wa Uingereza aliyejulikana kwa jina la Gemma Evans amemgonga mtu mmoja aliyekuwa akiendesha baiskeli na kufariki papo hapo wakati alipokuwa akituma ujumbe wa katuni katika mitandao ya Whatsapp na Facebook huku akiendesha gari.

Gemma (23) alikuwa akitumia simu yake kutuma ujumbe wa katuni za utani katika mitandao hiyo huku akiendesha gari asubuhi alipokuwa akitoka kazini baada ya kufanya kazi usiku mzima.

Yeye mwenyewe ameeleza kuwa pindi inatokea ajali hiyo simu yake ilikuwa katika mkoba wake na hakuitumia katika safari nzima hadi tukio hilo linatokea.

Polisi imemkatata msichana huyo na katika uchunguzi uliofanyika kwa kutumia simu yake na kwa msaada wa kamera za barabarani, imemuonesha dereva huyo akichepuka upande wa pili ambao ndio tukio hilo lilikotokea.

Wakati inasikilizwa kesi hiyo katika mahakama ya Merthyr Tydfil, jaji alisikika akisema kuwa kwa mujibu wa uchunguzi wa maafisa wa polisi, imeonesha msichana huyo alikuwa akiwasiliana kwa ujumbe wa katuni na rafiki yake katika mitandao kabla ya kuacha njia yake na kumgonga mwendesha baiskeli huyo aliyejulikana kwa jina la Diane Prince mwenye umri wa miaka 58.

Hakimu ameeleza zaidi kuwa taarifa hiyo ya maafisa wa polisi imeelenda mbali zaidi kwa kuelezea maudhui ya ujumbe huo uliosababisha ajali, ikisema kuwa msichana huyo alikuwa akipanga mtoko wa usiku na rafiki yake huyo ambaye alikuwa akiwasiliana naye

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali