Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kuelekea mechi dhidi ya Simba Yanga yapigwa faini

Thursday , 14th Feb , 2019

Kamati ya Bodi ya Ligi Kuu ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi, katika kikao chake Februari 12, 2019 ilipitia matukio mbalimbali ya Ligi pamoja na malalamiko yaliyowasilishwa mbele yake na kufanya maamuzi ikiwemo kuipiga faini Yanga.

Wachezaji wa Yanga kwenye uwanja wa Mkwakwani Tanga

Kamati imepitia ripoti ya mechi namba 239 iliyowakutanisha wenyeji Coastal Union dhidi ya Yanga kwenye uwanja wa Mkwakwani Tanga mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya 1-1.

Klabu ya Yanga imetozwa faini ya sh. 200,000 (laki mbili) baada ya wachezaji wake kuingia uwanjani kwa kutumia mlango usio rasmi. Kitendo hicho ni kinyume cha Kanuni ya 14(14) ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo, na adhabu hiyo imetolewa kwa kuzingatia Kanuni ya 14(49) ya Ligi Kuu kuhusu taratibu za mchezo.

Mbali na Yanga, Coastal Union pia imetozwa faini ya sh. 500,000 kutokana na timu yake kuoneshwa kadi zaidi ya tano katika mchezo huo uliofanyika Februari 3, 2019. Adhabu hiyo ni kwa mujibu wa Kanuni ya 43(10) ya Ligi Kuu kuhusu udhibiti kwa klabu.

Kamishna wa mechi hiyo Charles Mchau, na Mwamuzi Nassoro Mwinchui wamefungiwa miezi mitatu kila mmoja kutokana na taarifa zao kuwa na upungufu, na kushindwa kuumudu mchezo huo. Adhabu dhidi yao ni kwa mujibu wa Kanuni ya 40(1) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti kwa Makamishna, na Kanuni ya 39(1) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti kwa Waamuzi.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine