Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Azam yatamba kuifunza soka Mbeya City

Tuesday , 17th Jan , 2017

Ligi kuu ya Soka Tanzania bara inaendelea Jumatano ambapo vinara wa Ligi Simba SC watakuwa ugenini dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro huku Azam FC ikiahidi kuendeleza ubabe wake kwa Mbeya City Uwanja wa Chamazi Dar es salaam.

Kikosi cha Azam kikishangilia ubingwa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi

Afisa habari wa Azam FC Jaffary Iddy Maganga amesema, mchezo wa kesho anaamini utakuwa ni mgumu lakini kila kitu ni maandalizi na wamejipanga kwa ajili ya kukabiliana na changamoto katika mchezo huo ili kuhakikisha wanapata ushindi wa nyumbani hapo kesho.

Jaffary amesema mpaka sasa hakuna majeruhi katika kikosi na wanachosubiri kwa sasa ni mchezo huo wakiamini watafanya vizuri kwani wameweza kuzifunga timu kongwe za Simba na Yanga katika michuano ya Kombe la Mapinduzi lililofanyika visiwani Zanzibar.

Jaffary amesema, Kocha Iddy Cheche ataendelea kuwa katika benchi la ufundi mpaka pale vibali vya kocha mpya wa Azam FC Mromania Aristica Cioaba vitakapokamilika.

Dismas Ten - Msemaji wa Mbeya City

Kwa upande wake kocha msaidizi wa Mbeya City Josia Steven amesema, anaamini Azam FC ni kikosi kizuri na wanachangamoto kubwa ya kukabiliana nao lakini wamejipanga vizuri zaidi hivyo Azam FC wasitegemee kuwafunga kama walivyofanya kwa Simba na Yanga katika michuano ya Kombe la Mapinduzi lililofanyika visiwani Zanzibar.

Msikilize hapa Msemaji wa Mbeya City, Dismas Ten

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90