Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Bball Kings itawapeleka watu kimataifa' - Mohamed

Friday , 3rd Aug , 2018

Nahodha wa Mchenga Bball Stars, Mohamed Yusuf, amefunguka kuwa ukubwa wa michuano ya Sprite Bball Kings inayoandaliwa na East Africa Television LTD na kudhaminiwa na kinywaji cha Sprite, unatosha kuwapa nafasi wachezaji ya kuonekana na pengine kucheza kimataifa. 

Mohamed Yusuf katikati akijadili jambo na wenzake wakati wa mchezo wao dhidi ya Portland.

Mohamed Yusuf ameyasema hayo kwenye mahojiano maalum na kipindi cha East Africa Breakfast kupitia East Africa Radio, ambapo ameeleza kuwa mbali na zawadi wanazopata washindi lakini ukubwa wa michuano hiyo ndio kitu kingine kinachowafanya wajitume zaidi.

''Unajua kwenye michuano hii kila mchezaji anajitahidi kuonesha kiwango chake sio tu kwaajili ya kupata zawadi bali kutokana na ukubwa wa michuano hii watu wanawaza kupata nafasi ya kucheza kimataifa na ninaamini jambo hilo linawezekana'', - amesema.

Mbali na hilo Mohamed maarufu kama Mood, ameongelea 'game 2' ya nusu fainali ambapo amesema wanatarajia kukata tiketi ya fainali kesho akidai haoni kama wapinzani wao ambao ni Portland watawazuia haswa baada ya kushinda game 1 kwa pointi 70 dhidi ya 54.

Game 2 za best of three ya nusu fainali ya Sprite Bball Kings zitapigwa kesho Jumamosi Agosti 4 kwenye uwanja wa taifa wa ndani jijini Dar es salaam. Flying Dribblers baada ya kushinda 'game 1' kwa pointi 84 kwa 75 za Team Kiza watakipiga tena kutafuta nafasi ya fainali. Mchenga nao watakipiga na Potrland. Mechi zitaanza saa 10:00 jioni na hakutakuwa na kiingilio.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine