Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Beki wa Yanga atangaza vita

Monday , 14th Aug , 2017

Beki mpya wa klabu ya Yanga, Gadiel Michael amesema atahakikisha anawazima washambuliaji wa timu ya Simba Agosti 23 mwaka huu John Boko, Laudit Mavugo pamoja na Emmanuel Okwi watakapokutana katika mechi yao ya Ngao ya Jamii hivi karibuni

Beki mpya Yanga, Gadiel Michael.

Beki huyo wa kushoto ambaye amejiunga na Yanga kwa kandarasi ya miaka miwili akiwa anatokea Azam FC amesema kwa upande wake mchezo huo utakuwa ni wa kawaida na amejipanga kuwadhibiti wachezaji hao watakaocheza kwenye eneo lake hadi kusahauliwa na mashabiki wa timu yao.

"Nadhani hiyo ndiyo mechi ambayo nitajitambulisha rasmi Yanga maana katika kucheza kwangu mpira, sijawahi kuogopa mechi kubwa hata siku moja wala kuwahofia wachezaji, na hao ambao watakuwa wanafika kwenye eneo langu wajue kabisa nitawazima kabisa siku hiyo. Naamini Mungu ataniongoza kwa kila kitu katika maisha yangu mapya", alisema Gadiel.

Kwa upande mwingine, timu ya Yanga jana imefanikiwa kuwanyoosha timu ya Mlandege bao 2-0 katika mechi yao ya kirafiki iliyochezewa mjini Zanzibar katika hatua ya maandalizi kuelekea mechi ya Ngao ya Jamii na Ligi Kuu Tanzania Bara 2017/2018. 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine