Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CAF yatoa nafasi kwa Samatta kuvunja rekodi yake

Monday , 5th Nov , 2018

Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) kupitia kamati yake inayoshughulika na kuandaa Tuzo za CAF 2018, imeweka wazi vigezo vya wachezaji watakaochaguliwa kuwania tuzo mbalimbali mwaka huu huku moja ya vigezo vikonekana kumpa nafasi nahodha wa Tanzania Mbwana Samatta.

Mbwana Samatta

Kamati hiyo imesema kigezo kikuu kitakachotumika kuchagua washiriki wa tuzo ni kiwango cha muhusika kuanzia mwezi Februari 2018 hadi Novemba 2018. Kigezo hiki hakijamtenga sana nyota huyo wa KRC Genk, kutokana na kuonesha kiwango bora katika kipindi hicho kilichotajwa.

Tangu msimu wa 2018/19 uanze katika ligi kuu ya Ubelgiji tayari Samatta amefanikiwa kufunga mabao 10, akiwa kinara wa mabao kwenye ligi hiyo huku pia akiwa ameshafunga mabao 3 katika michuano ya kombe la Europa.

Samatta tayari ni mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wa ndani, tuzo ambayo aliipata wakati akiichezea TP-Mazembe msimu wa 2015/16 ambapo aliibuka mfungaji bora wa ligi ya mabingwa Afrika kwa kufunga mabao 7.

Tuzo hizo ambazo hutambua na kuheshimu wachezaji, viongozi na watendaji wengine ambao wamefanya vizuri mwaka huu, zitatolewa Jumanne, Januari 8, 2019 huko Dakar, Senegal.

Vipengele vitakavyowaniwa.

1. Mchezaji wa Afrika wa Mwaka
2. Mchezaji bora wa Wanawake wa Mwaka
3. Mchezaji bora kijana wa Mwaka
4. Kocha bora wa Wanaume wa Mwaka
5. Kocha bora wa Wanawake wa Mwaka
6. Timu bora ya taifa ya Wanaume
7. Timu bora ya taifa ya Wanawake
8. Goli bora la Mwaka
9. Kikosi bora cha Afrika  'First XI'
10. Tuzo ya Rais wa CAF
11. Tuzo ya Platinum
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali