Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chama cha kuogelea Tz kuwapa mafunzo waokoaji

Thursday , 24th Jul , 2014

Chama cha kuogelea nchini Tanzania TSA kimetoa wito kwa wamiliki wa mabwawa na mahotel yenye mabwawa ya kuogelea kuhakikisha wanaajiri waokoaji wenye taaluma ya uokoaji ili kuepusha matatizo kwa waogeleaji pindi wanaposhindwa kuogelea

Baadhi ya waogeleaji wakichuana katika moja ya michuano ya kuogelea nchini.

Chama cha mchezo wa kuogelea Tanzania TSA kwa kushirikiana na uongozi wa michezo wa chuo kikuu na wamiliki wa mabwawa ya kuogelea nchini wanataraji kuandaa kozi maalumu kwaajili ya mafunzo ya uokoaji kwa waokoaji ambao wanafaya kazi ya kuokoa waogeleaji na wasio waogeleaji

Katibu mkuu wa TSA Noel Kihunsi amesema uamuzi huo umetokana na matukio ya watu kuzama katika maji hasa watoto na pia waokoaji kushindwa kuifanya kazi hiyo ipasavyo

Kihunsi ametolea mfano vifo vya watoto vilivyotokea katika Hotel ya Land Mark Mbezi Beach ambapo kama wangekua wameajiri waokoaji ambao wana taaluma ya uokoaji na wapo muda wote katika eneo la kuogelea pengine athali ya tukio hilo isingekua kubwa

Aidha Kihunsi amesema chuo kikuu kitasambaza barua kwa wahusika wote ili kufanikisha zoezi hilo na baada ya kozi hiyo watawafanyisha mitihani wanafunzi wote ili kupima uwezo wao kama wameelewa mafunzo hayo tayari kuanza kazi hiyo kwani wengi wanaofanya kazi hiyo ni watu ambao hawana taaluma hiyo ya uokoaji na ndio maana wanashindwa kukabiliana na tatizo la kuokoa pindi mwogeleaji anapozama au kushindwa kuogelea.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine