Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dismas Ten aeleza kwanini Simba na Yanga sio timu

Saturday , 25th May , 2019

Msemaji wa klabu ya Yanga, Dismas Ten, siku za hivi karibuni amekuwa akitoa elimu ya uwekezaji kwa vilavu kongwe vya Yanga na Simba huku akikosoa baadhi ya mambo.

Leo amekosoa timu hizo kuitwa timu kubwa ilihali hazina uhalisia wa kuwa hivyo kutokana na namna ambavyo vinajiendesha.

''Hivi kweli Simba na Yanga ni timu kubwa? Hatuna viwanja vya mechi wala mazoezi, hatuna academy, hatuna Malls. Mafanikio makubwa iliyonayo FC Barcelona ni matokeo ya uwepo wa kituo cha kukuzia vipaji cha La Masia'', amesema.

Aidha Dismas amezipa changamoto klabu hizo kwa kusema kujiuliza ni watoto wangapi nchini wangependa kupita kwenye 'academy' za Simba na Yanga, ni vipaji vingapi vingevumbuliwa nchini kupitia Simba na Yanga. Wachezaji vijana wangapi wangeuzwa ndani na nje ya nchi kutoka kwenye 'academy' za Simba na Yanga.

Simba na Yanga ni timu zilizoanzishwa miaka ya 1930 lakini mpaka sasa havijafanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa barani Afrika ambapo mbali na Simba kufika fainali ya kombe la shirikisho miaka ya nyuma hakuna timu imeweza kuchukua kombe.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine