Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fatuma Issa wa Kilimanjaro Queens kwenda Ulaya

Saturday , 28th Jul , 2018

Mlinzi mahiri wa timu ya soka ya taifa ya wanawake na ile ya Tanzania bara pamoja na klabu ya Evergreen Queens, Fatuma Issa Maonyo, anatarajia kwenda nchini Sweden kucheza soka la kulipwa kwenye moja ya klabu zinazoshiriki ligi kuu ya wanawake nchini humo.

Kushoto ni mchezaji Fatuma Issa akiwa na Rais wa TFF Wallace Karia.

Akiongea na www.eatv.tv Fatuma maarufu kama Fetty Densa, amesema mipango yote inaenda sawa na akirejea tu jijini Dar es salaam kutoka Kigali Rwanda ambako yupo na timu ya taifa ya wanawake, atakaa kidogo nchini kisha ataelekea Sweden tayari kwa kuanza maisha mapya ya soka la kulipwa.

''Nimefurahi kuwa mchezaji bora kwenye michuano hii sina hata cha kusema ila imeniongezea kitu hata mipango yangu ya kwenda kucheza soka Sweden wiki chache zijazo itatimia kirahisi maana tayari uwezo wangu unatambulika'', - amesema.

Mchezaji Fatma Issa.

Hata hivyo Fatuma amegoma kuweka wazi ni timu gani anakwenda kuchezea kwa kile alichoeleza kuwa kuna vitu vinakamilika na ataweka wazi kwa Watanzania kabla ya kuondoka ili wamuombee akafanye vizuri na kuiwakilisha vizuri Tanzania.

Jana jioni Julai 27, 2018 Fatma alitangazwa kuwa mchezaji bora wa michuano ya soka kwa wanawake kwenye ukanda wa Africa Mashariki na Kati 'CECAFA Women Challenge' huku Kilimanjaro Queens ikiibuka mabingwa kwa kuwa na pointi 7 ambazo hazikufikiwa na timu nyingine.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine