Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hawa ndio wachezaji wanaoongoza kwa pointi nyingi

Tuesday , 24th Jul , 2018

Moja ya malengo ya michuano ya Sprite Bball Kings inayoandaliwa na East Africa Television LTD kwa udhamini wa kinywaji cha Sprite ni kuinua vipaji, tayari wakali mbalimbali katika maeneo tofauti wameshaanza kuonekana kuanzia hatua ya mchujo mpaka robo fainali.

Timu za Mchenga Bball Stars na St. Joseph kwenye mechi yao ya robo fainali.

Tayari michuano hiyo imeshafika hatua ya nusu fainali ambapo mechi 2 za hatua hiyo zitapigwa Jumapili hii ya Julai 29, kwenye uwanja wa ndani wa taifa. Hawa ndio wachezaji watatu wanaoongoza kwa kufunga pointi nyingi kwenye mechi tatu walizocheza hadi sasa ambazo ni hatua ya mchujo, hatua ya 16 bora na robo fainali. 

Namba moja imeshikiliwa na mchezaji David Godfrey wa St. Joseph, ambaye amefunga pointi 92, akianza a pointi 19 kwenye haua ya mchujo, pointi 41 kwenye 16 bora na kumaliza kwa pointi 32 kwenye robo fainali. Bahati mbaya timu yake imetolewa kwenye mashindano katika hatua ya robo fainali.

Kutoka kushoto ni Baraka Mopele wa Flying Dribblers, Denis Babu wa Portland (katikati) na David Godfrey wa St, Joseph (kulia).

Namba mbili inashikiliwa na nahodha wa Portland, Denis Babu ambaye amefunga jumla ya pointi 74. Babu alianza kwa kufunga pointi 19 kwenye mechi za mchujo kabla ya kufunga pointi 24 kwenye hatua ya 16 bora na robo fainali amefunga pointi 31. Timu yake ya Portland imetinga hatua ya nusu fainali.

Namba tatu amesimama Baraka Mopele wa Flying Dribblers ambaye amefunga pointi 71. Alianza na pointi 8 kwenye hatua ya mchujo, kisha akafunga pointi 38 kwenye 16 bora na robo fainali amefunga pointi 25. Timu yake imefuzu nusu fainali ya michuano hiyo.

HABARI ZAIDI

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12