Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hii ndio nchi itakayoandaa CHAN 2018

Sunday , 15th Oct , 2017

Kamati ya Dharura ya Shirikisho la Soka Barani Afrika, ikiongozwa na Rais Mr. Ahmad, imekutana Oktoba 14, 2017 huko Lagos, Nigeria, na kwa pamoja imeamua kutoa nafasi kwa nchi ya Morocco kuandaa fainali za tano za CHAN.

Uamzi huo umekuja muda mfupi baada ya nchi ya Kenya  kupokonywa nafasi hiyo tarehe 23 Septemba 2017 kwenye mkutano wa CAF uliofanyika huko Accra, Ghana, ambao ulibaini kasoro kadhaa ikiwemo kuchelewa kukamilika kwa maadalizi.=

Baada ya Kamati ya Utendaji ya CAF kujiridhisha kuwa mwendendo wa maandalizi ya Kenya kulingana na muda wa mwisho uliotolewa haijafikia malengo ndipo ikaunda kamati ya dharura ili kufanya mchakato wa zabuni ya kuchagua nchi mpya.

Nchi ambazo zilikuwa zinashindana na Morocco kuwania nafasi hiyo ya uenyeji wa Kombe la Mataifa barani Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani ikifahamika kama CHAN ni Equatorial Gueine na Ethiopia.

Fainali hizo za CHAN 2018, zimepangwa kuanza Januari 12 na kumalizika Februari 4, 2018. Jumla ya mataifa 16 yatachuana kuwania taji hilo ambapo Tanzania ilitolewa na Rwanda.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90