Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kagere abakiza mabao 3 kuvunja rekodi ya 1994

Monday , 20th May , 2019

Mshambuliaji wa klabu ya Simba, Meddie Kagere, anaongoza katika orodha ya wafungaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu akiwa na mabao 22.

Mshambuliaji, Meddie Kagere

Mchezaji huyo raia wa Rwanda, amefanikiwa kucheza kwa kiwango kikubwa msimu huu ikiwa ni msimu wake wa kwanza tangu alipojiunga kutokea klabu ya Gor Mahia ya Kenya, ambapo ameisaidia Simba kutoka nafasi ya tatu ya msimamo wa ligi hadi kuwa kinara hivi sasa ikihitaji pointi moja pekee kutawazwa bingwa.

Kwa idadi ya mabao aliyonayo hivi sasa, Meddie anahitaji mabao matatu zaidi ili aweze kuipiku rekodi ya mfungaji bora wa muda wote wa Ligi Kuu katika msimu mmoja, rekodi inayoshikiliwa na Mohammed Hussein ‘Mmachinga’, aliyefunga mabao 24 katika ligi mwaka 1994.

Magoli waliyofunga Kagere na wenzake

 

Yeye na washambuliaji wenzake Emmanuel Okwi na John Bocco kwa pamoja wamefunga jumla ya mabao 52 katika Ligi Kuu msimu huu, ikiwa ni zaidi ya mabao yaliyofungwa na klabu za Biashara United, Ruvu Shooting, Mwadui FC, JKT Tanzania, Kagera Sugar, Tanzania Prisons na Singida United.

Simba itapambana na Singida United, Jumanne, Mei 21 katika uwanja wa Namfua, huku ikiwa na uwezekano mkubwa wa kutangaza ubingwa katika mchezo endapo itapata pointi moja pekee na kufikisha jumla ya pointi 89 ambazo hazitofikiwa na klabu yoyote.
 

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu