Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manara amaliza utata wa Niyonzima Simba

Friday , 16th Nov , 2018

Baada ya kusambaa kwa tetesi za kiungo wa klabu ya Simba, Haruna Niyonzima kutakiwa na klabu ya Azam Fc, hatimaye Afisa Habari wa klabu hiyo, Haji Manara ameibuka na kuzikanusha.

Haji Manara (kushoto), Haruna Niyonzima (kulia)

Kupitia katika ukurasa wake wa Instagram, Haji Manara amesema kuwa hawana mpango wa kumuacha mchezaji huyo kwakuwa yupo katika mipango yao.

"Haruna Niyonzima yupo 'camp now' na leo atacheza ikimpendeza kocha dhidi ya Nyasa Big Bullets," amesema.

Kikosi cha Simba kinashuka dimbani leo kuvaana na Nyasa Big Bullets ya nchini Malawi katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam, ikiwa ni katika maandalizi ya michuano ya klabu barani Afrika 2018/19 inayotarajia kuanza mwishoni mwa mwezi huu.

Katika michuano hiyo, Simba itavaana na Mbabane Swallows ya Swartzland, kati ya Novemba 27 na 28 huku wapinzani wao wa leo, Nyasa Big Bullets ikicheza na Gor Mahia ya Kenya.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine