Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manara amtaka Mwinyi Zahera kujifunza

Sunday , 21st Apr , 2019

Kufuatia kufungwa dhidi ya Kagera Sugar katika ligi, Afisa Habari wa Simba, Haji Manara amemtaka kocha wa Yanga kujifunza jinsi ya kuzungumza pindi timu yake inapofungwa.

Haji Manara na Mwinyi Zahera

Kupitia ukurasa wake wa Istagram, Manara ameanza kwa kumsifia kocha wake, Patrick Aussems kwa kitendo cha kuwapongeza wapinzani wake Kagera Sugar kutokana na kiwango walichokionesha dhidi yao, huku akimtaka kocha wa Yanga Mwinyi Zahera kuiga mfano huo badala ya kulalamika kuwa wanaonewa.

Manara ameandika, "tofauti ya kocha wa mpira na kocha wa Sunsumia au kibao kata!!. Unafungwa unawapongeza washindi na kukubali mapungufu yako, angekuwa yeye sasa!, "waamuzi wanatuonea, mimi nimefundisha Ulaya miaka arobaini", ( ukigoogle ) huoni timu alizofundisha zaidi ya kufundisha kucheza ndombolo na mayenu ). "Ohh Simba inabebwa, leo sikushinda kisa Ajibu na Fei Toto hawakuvaa boksa na hawajala toka juzi!!".

"Hahahahaha ila akishinda sasa, najua kupiga gitaa kuliko Diblo, na ile fasi ya putuluu imekuja na ndege na ndio maana sisi Wakongo tunapendwa na wadada wa bongo. Kocha mzuri huzungumzia vitu 'technical' na sio riwaya za wanaotumia mkorogo wa buku buku!!!", ameongeza Manara.

Baada ya kupoteza mchezo huo, sasa Simba inasalia na pointi zake 60 baada ya kucheza michezo 24, huku Kagera Sugar ikiwa katika nafasi ya 13 na pointi 39 baada ya kucheza mechi 33 mpaka sasa. 

Baada ya mchezo huo, Simba inaendelea na ratiba ya kupunguza viporo vyake ambapo sasa inajiandaa kucheza na Alliance FC jijini Mwanza, April 23 katika dimba la CCM Kirumba.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine