Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchezaji wa EPL astaafu akiwa na miaka 26

Tuesday , 13th Feb , 2018

Kiungo wa klabu ya Hull City ya England Ryan Mason, amelazimika kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 26 kwa tatizo la jeraha la fuvu la kichwa alilopata kwenye mechi dhidi ya Chelsea.

Mason amechukua uamuzi huo wa kustaafu baada ya kupewa ushauri wa madaktari wa upasuaji wa kichwa aliofanyiwa katika hospitali ya St. Mary mjini London, ambapo madaktari wameeleza kuwa Mason kuwa hai hadi sasa imekuwa ni bahati tu.

Katika mchezo huo wa EPL katika uwanja wa Stamford Bridge Januari 2016, Mason aligongana kichwa kwa kichwa na beki wa Chelsea Gary Cahill na kupasuka ambapo alitibiwa kwa dakika nane uwanjani kabla ya kukimbizwa Hospitali.

Baada ya kutibiwa Mason alianza mazoezi na klabu hiyo tena Mei 2017 lakini hakupata nafuu zaidi ya kucheza tena ambapo alikutana na watalaam zaidi wakamshauri aachane na soka.

Klabu ya hull City imewashukuru wale wote waliomsaidia kupona katika kipindi cha miezi 12 ya kuumwa kwake na sasa Mason anaanza maisha mapya nje ya soka. Mason ambaye ni raia wa England alianzia soka kwenye klabu ya Tottenham Hotspurs.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine