Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Meja Jenerali wa jeshi anavyoiongoza AS Vita

Tuesday , 12th Mar , 2019

Association Sportive Vita Club (AS Vita), ilianzishwa mwaka 1935 na Rais wa klabu hiyo kwa sasa ni Meja Jenerali mstaafu wa jeshi la DR Congo, Gabriel Amisi Kumba.

AS Vita na Rais wao Gabriel Kumba

Kumba alichaguliwa kuwa Rais wa klabu hiyo mwezi Machi 27, 2017 hivyo kuelekea Machi 16, 2019 kwenye mchezo dhidi ya Simba atakuwa anakaribia kutimiza miaka 12 akiwa madarakani huku akiwa amefanikiwa kuifanya AS Vita kuwa moja ya timu tishio Afrika.

Moja ya vitu ambavyo Kumba anatajwa kufanikiwa zaidi katika klabu hiyo ni kuifanya ijitegemee kiuchumi na kuweza kusajili wachezaji wakubwa pamoja na kuwalipa vizuri akiwemo mchezaji ghali zaidi kwenye kikosi ambaye ni Jean-Marc Makusu akiwa na thamani ya zaidi ya shilingi milioni 350.

Mbali na soka, AS Vita imefanikiwa kuwa na timu bora katika michezo mbalimbali ikiwemo, Basketball, Nantei na Volleyball huku yote yakisimamiwa na Meja jenerali mstaafu Gabriel Kumba.

AS Vita wanakuja nchini kucheza mchezo wa mwisho Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi D dhidi ya Simba ambapo kila mmoja anahitaji ushindi ili aweze kusonga mbele huku pia wakisubiri matokeo ya JS Saoura na Al Ahly huko Misri.

Kundi D kwasasa linaongozwa na JS Saoura wenye pointi 8, Al Ahly pointi 7, AS Vita pointi 7 na Simba wakiwa wa mwisho na pointi 6. Katika kundi hili kila timu inaweza kusonga mbele.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine