Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtanzania ashinda dhahabu Mumbai Marathon

Sunday , 15th Jan , 2017

Mwanariadha wa Tanzania Alphonce Felix Simbu aliyeibuka mshindi na kutwaa medali ya dhahabu katika mashindano ya riadha ya dunia ya Mumbai Marathoni yaliyofanyika nchini India, amefichua siri ya ushindi wake

Alphonce Felix akimalizia mbio zake za Mumbai Marathon

Simbu ametumia masaa 2 dakika 9 na sekunde 32, na kuwapiku Joshua Kirkorir wa Kenya aliyetumia saa 2, dakika 9 na sekunde 50 na Eliud Barbgetuny pia wa Kenya alishika nafasi ya tatu kwa kutumia saa 2 dakika 10 na sekunde 39.

Akizungumzia ushindi huo, Simbu amesema siri kubwa ya ushindi wake katika mbio hizo ni mazoezi aliyoyafanya katika milima mbalimbali ya Tanzania, yaliyomfanya awe imara zaidi katika mazingira ya mashindano hayo yalikuwa yanakabiliwa na kona pamoja na vilima vingi

Jambo lingine lililomsaidia ni uzoefu alioupata katika mashindano mengine ikiwemo Olimpiki za mwaka jana na mashindano ya ubingwa wa dunia ya Beijing mwaka 2015.

Alphonce Felix Simbu (Katikati) 

Kwa ushindi huo, Simbu anatia kibindoni kiasi cha dola za Marekani 67,000 zaidi ya shilingi milioni 140 za kitanzania.

Simbu anakumbukwa pia kwa kuipeperusha bendera ya Tanzania vyema katika mashindano ya Olimpiki yaliyofanyika nchini India mwaka jana kwa kukamata nafasi ya tano katika mbio za marathoni.

Katika mashindano hayo, Mkenya Bornes Kitur amefanikiwa kushinda mbio hizo kwa upande wa wanawake.

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine