Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwambusi apania kuikamata Simba kileleni

Monday , 16th Jan , 2017

Klabu ya Yanga kesho itashuka dimbani kuchuana na klabu ya Majimaji ya Songea katika mchezo wa raundi ya 18 wa ligi kuu Tanzania Bara ambapo Yanga wamejipanga kupunguza 'gap' kati yao na Simba ambao kwa sasa wapo kileleni mwa ligi wakiwa na point 44

Kocha Msaidizi wa Yanga, Juma Mwambusi

Licha ya kuwa na na majeruhi wannne kocha msaidizi wa klabu hiyo Juma Mwambusi amesema wamejipanga vyema na wamewaandaa vyema wachezaji wao kushinda mchezo huo wa ugenini ili kupunguza gap yao na Simba.

"Kikosi kinasumbuliwa na Majeruhi lakini waliopo watafanya kazi na tumewaandaa vyema kushinda mchezo huo ugenini". Alisema kocha msaidizi wa klabu hiyo Juma Mwambusi 

Katika mchezo wa kesho dhidi ya Majimaji Yanga itawakosa wachezaji wake watano kutokana na kuwa majeruhi mbalimbali akiwemo Donald Dombo Ngoma, Malimi Busungu, Obrey Chirwa, Justin Zullu na Emanuel Martin.

Yanga wanashika nafasi ya pili katika ligi kwa pointi 40 huku Simba wakiwa kileleni kwa pointi 44.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali