Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nigeria wamuumiza kichwa Zitto, atamani wengine

Monday , 20th May , 2019

Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amempongeza nahodha wa taifa Stars Mbwana Samatta, kwa kutwaa ubingwa wa soka Ubelgiji na klabu yake ya KRC Genk.

Zitto Kabwe

Zitto ambaye ni shabiki mkubwa wa soka akishabikia klabu za Simba na Liverpool amesema, Tanzania inahitaji watu kama Samatta wengine 100 ili kusaidia kulitangaza taifa letu kimataifa.

Zitto ametumia Instagram kueleza hayo akiweka wazi kuwa video ya mashabiki wa Genk wakishangilia na bendera ya Tanzania ni kitu kikubwa kwa taifa. ''Hii ni free advert ya nchi. Hapa ni Genk ambapo @samagoal77 anacheza. We need hundreds of Samatta nje''.

Aidha Zitto ameeleza namna ambavyo Nigeria inapata faida kama hizo kutokana na kuwa na wachezaji wengi Ulaya. ''Fikiria Nigeria wanapata Remittances kiasi gani kutoka exports ya wachezaji wao kwenye ligi za Ulaya na penginepo.

Mashabiki wa Genk na Samatta wakipeperusha bendera ya Tanzania kwenye uwanja wa Cristal Arena.

Pia amemshukuru Samatta kwa kusema ''Asante sana Mbwana Samatta kwa heshima hii kwa nchi yetu''.

Samatta akiwa na Genk amefanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya huko huku akimaliza akiwa kinara wa magoli baada ya kufunga mabao 20 kwenye msimu wa 2018/19.
 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90