Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais wa TBF ayataka tena mashindano ya Bball Kings

Sunday , 26th Aug , 2018

Rais wa shirikisho la mpira wa Kikapu nchini (TBF) Phares Magesa, ameeleza kufurahishwa na ushawishi mkubwa uliotengenezwa na michuano ya Sprite Bball Kings kwenye mchezo huo huku akiomba mashindano hayo yawepo tena mwakani.

Wachezaji wa Mchenga Bball Stars wakishangilia ubingwa wao

Magesa aliyasema hayo jana usiku wakati wa kukabidhi zawadi kwa mabingwa wa michuano hiyo mwaka 2018, Mchenga Bball Stars, kwenye uwanja wa taifa wa ndani, ambapo alieleza kuwa mashindano hayo yamekuwa yakivutia watu wengi hivyo kuongeza thamani ya mchezo huo nchini.

''Kama tunavyoona watu wengi wamekuwa wakijaa uwanjani kushuhudia michuano hii, niombe tu wenzetu wa East Africa Television na Sprite ambao ndio waandaaji na wadhamini, mwakani tena michuano hii iwepo na ikiwezekana sasa iende kwenye mikoa mingine'', alisema.

Rais wa TBF Phares Magesa.

Michuano hiyo ambayo imefanyika kwa mara ya pili, imefikia tamati jana kwa mabingwa watetezi Mchenga Bball Stars kushinda kwa 'Swipe' yaani mechi zote tatu kwenye'Best of 5' ya fainali dhidi ya Flying Dribbllers hivyo kutetea ubingwa wao.

Zawadi walizopata washindi jana ni milioni 3 kwa mshindi wa pili ambaye ni timu ya Flying Dribbllers, milioni 2 kwa Mchezaji bora wa mashindano 'MVP' Baraka Sadick na milioni 10 kwa mabingwa ambao ni Mchenga Bball Stars.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu