Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serengeti Boys yapaa South kuwavaa Amajimbos

Monday , 28th Jul , 2014

Kocha Serengeti Boys Hababuu Ally amesema Morali waliyonayo wachezaji wake 19 walioondoka nchini kwenda Afrika Kusini wakiwa na viongozi 6 inampa matumaini ya kurejea nchini kifua mbele baada ya kuwatoa Amajambos ya Afrika Kusini

Kikosi cha Serengeti Boys kilichoondoka leo kwenda Afrika kusini.

Msafara wa watu 25 wa kikosi cha timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 (Serengeti Boys) umeondoka nchini hii leo kwenda Afrika Kusini kwa ajili ya mechi ya marudiano dhidi ya Afrika Kusini (Amajimbos).

Mechi hiyo ya marudiano ya raundi ya pili itachezwa Jumamosi, Agosti 2 mwaka huu kwenye Uwanja wa Dobsonville uliopo Soweto, Johannesburg kuanzia saa 9 kamili mchana kwa saa za Afrika Kusini.

Ambapo kocha wa Serengeti Boys Hababuu Ally Omar amesema maandalizi ya timu yake kuelekea mchezo huo yamekamilika na amefanyika kazi mapungufu yote mabayo yalijitokeza katika mchezo wa awali ambao timu hizo zilitoka suluhu katika mchezo wa kwanza uliyofanyika Julai 18 mwaka huu kwenye Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es salaam

Aidha Hababuu ametoa pongezi kwa shirikisho la soka nchini TFF kwa kufanikisha safari hiyo kitu ambacho kitaisaidia timu hiyo kupata muda mzuri wa mazoezi na kuzoea hali ya hewa ya Afrika Kusini hasa mji watakaochezea mchezo huo.

Naye nahodha Msaidizi wa Serengeti Boys Omar Wyne kwa niaba ya wachezaji wenzake amesema wako tayari kwa mchezo huo na morali yao iko juu kuhakikisha wanaibuka na ushindi huko ugenini

Wyne amesema walipata taabu katika mchezo wa kwanza kwakuwa walikuwa hawaja wasoma wapinzani wao lakini kwa sasa wamewaona na wanategemea kufanya vema na kinachopaswa ni watanzania kuwaombea dua ili wavuke kikwazo hicho na baadaye waingie mzunguko wa mwisho kwa kupambana na mshindi wa mchezo kati ya Misri na Sudan.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali