Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba na Yanga kuhukumiwa leo

Wednesday , 13th Dec , 2017

Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya kimataifa ngazi ya klabu msimu wa 2017/18 Simba na Yanga, watajulikana leo ambapo droo ya kupanga hatua ya awali ya michuano hiyo itafanyika jijini Cairo, Misri.

Yanga ambao ni mabingwa wa Tanzania Bara wanasubiri kuwajua wapinzani wao katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika na wakati Simba SC wao wakisubiri kujua wataanza na nani katika Kombe la Shirikisho.

Michuano hiyo huandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Tayari kamati kuu ya utendaji ya shirikisho hilo imeshaanza vikao vya awali tangu Disemba 11 mwaka huu ikijadili maboresho mbalimbali yanayohitajika kufanyika kwenye michuano hiyo.

MKutano huo unaojulikana kama (CAF interclubs competitions think-tank 2017) unatarajia kutoka na uamzi wa juu ya nini kifanyike ili kuboresha michuano hiyo na hii huenda ikaangukia kwenye kubadili muundo wa mashindano hayo.

Tayari klabu zote za Simba na Yanga zimeshawasilisha majina ya usajili wa wachezaji wao kwa ajili ya michuano ya klabu bingwa na Kombe la Shirikisho Afrika. Mabingwa watetezi wa klabu bingwa ni Wydad Casablanca ya Morocco wakati mabingwa watetezi wa Kombe la Shirikisho ni TP-Mazembe ya DR Congo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine