Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba na Yanga kula viporo kabla ya safari

Tuesday , 13th Feb , 2018

Vinara wa ligi kuu soka Tanzania Bara Simba SC iliyopo kileleni mwa msimamo na mabingwa watetezi Yanga SC iliyopo nafasi ya pili zinatarajiwa kucheza mechi zao za viporo za VPL kabla ya kusafiri kwa mechi za kimataifa.

Yanga ambayo haikucheza mchezo wake wa raundi ya 18 kutokana na wikiendi ililiyopita kucheza mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya St. Lousi ya Shelisheli, itaikaribisha Majimaji FC kwenye uwanja wa Uhuru.

Simba wao hawakucheza mchezo wao wa raundi ya 18 kutokana na kuiwakilisha nchi kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika ambapo walicheza na Gendarmerie ya Djibouti. Alhamisi watakuwa mjini Shinyanga kucheza na Mwadui FC.

Tayari Yanga wameshaweka wazi kuwa watasafiri siku ya Jumapili Februari 18 kuelekea Shelisheli kwaajili ya mchezo wa marudiano utakaopigwa Februari 21. Simba bado hawajatangaza lini wataondoka nchini.

Simba wanaongoza ligi wakiwa na alama 41 huku wapinzani wao wa Alhamisi Mwadui wakiwa katika nafasi ya 12 na alama 18. Yanga ina alama 34 katika nafasi ya tatu huku Majimaji wakiwa nafasi ya 14 na alama 14.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90