Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba wamuaga 'Kilomoni' kwa goli 1

Monday , 14th Aug , 2017

Mwenyekiti wa baraza la Wadhamini Simba 'Mzee Kilomoni' amesimamishwa uanachama na Klabu hiyo ikiwa ni baada ya kudaiwa kuvunja katiba ya Simba  kwa kupeleka mambo ya soka Mahakamani ilhali kuna chombo maalum cha kusuluhisha matatizo klabuni hapo.

Mchezaji Emmanuel Okwi

Katika mkutano uliyofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa Julius Nyerere, Kamati ya Utendaji ya Klabu hiyo ilimsimamisha uanachama Mzee Kilomoni huku hukumu ikiwa imependekezwa na Kaimu Rais Simba, Salim Abdallah 'Try Again' katika mkutano huo mbele ya waachama 927 waliyohudhuria, kuwa Kilomoni aondolewe katika Baraza la Wadhamini la Simba kwa kitendo cha kufungua kesi Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wiki iliyopita.

Hata hivyo baada ya Klabu hiyo kumaliza tukio hilo ilielekea uwanjani ambapo timu ya Simba iliibuka kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, mchezo uliyopigwa siku ya Jumapili (Jana) kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Balo la Simba lilifungwa na Emmanuel Okwi katika dakika ya 44 kipindi cha kwanza ikiwa ni masaa machache tangu klabu hiyo itoke kwenye mkutano mkuu.

Matokeo hayo ni mwendelezo wa matokeo mazuri iliyopata klabu hiyo ikiwa siku chache tangu ilipoifunga Rayon ya Rwanda bao 1-0 katika mchezo wa Simba Day.

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine