Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yang'ang'ania kufanya mkutano wake wiki hii

Thursday , 8th Dec , 2016

Uongozi wa Klabu ya Simba umewataka wanachama kuhudhuria mkutano unaotarajiwa kufanyika Desemba 11 mwaka huu ili kila mwenye wazo aweze kuchangia kwa maendeleo ya klabu.

Geoffrey Nyange 'Kaburu'

 

Makamu wa Rais wa klabu ya Simba Geoffrey Nyange Kaburu amesema mwenye mamlaka ya kuitisha Mkutano Mkuu wowote kulingana na katiba ni Rais akishirikiana na Kamati ya Utendaji na hakuna mtu yeyote anayehusika kusitisha mkutano..

Kaburu amesema, ili uwe mwanachama wa Simba ni lazima uwe mtiifu wa Simba kwa kufuata katiba na siyo kuvunja katiba, hivyo mkutano upo palepale na wanachama wanatakiwa kuitikia wito kwani mkutano ndiyo sehemu pekee ya kuonana na uongozi na hata kama hawahitaji mabadiliko wanatakiwa kufika ili kutoa hoja zao ambazo zitasikilizwa ili kuweza kufanya maamuzi kwa ajili ya maendeleo ya klabu.

Kaburu amesema, kwa wale wanaopinga mabadiliko wanatakiwa kusoma upya katiba na kama wana lolote la kuongea wafike kwenye mkutano ili kuweza kuchangia kwa manufaa ya klabu.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine