
Dr. Hilderman akitumbuiza jukwaani
23 Jun . 2014

Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Dkt Shukuru Kawambwa.
23 Jun . 2014

Waziri mkuu wa Tanzania mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda.
23 Jun . 2014

Mwenyekiti mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi - UKAWA Profesa Ibrahim Lipumba.
23 Jun . 2014

Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari nchini Tanzania MCT Kajubi Mukajanga.
23 Jun . 2014

Msemaji wa jeshi la polisi nchini Tanzania, Advera Senso.
23 Jun . 2014

Mkuu wa polisi nchini Tanzania IGP Ernest Mangu. Ofisi yake imetakiwa kueleza alipo rais wa jumuiya ya wanafunzi wa elimu ya juu nchini TAHLISO Musa Mdede, vinginevyo wanafunzi hao wataitisha mgomo wa nchi nzima.
22 Jun . 2014

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
21 Jun . 2014