Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzania Prisons yaja 'kijeda' zaidi

Wednesday , 26th Jul , 2017

Uongozi wa timu ya Tanzania Prisons umedai umefanya marekebisho makubwa katika kikosi chao kuelekea msimu mpya wa ligi kuu kwa kuwatema baadhi ya wachezaji waliyokuwa raia na badala yake sasa hivi watakuwa wanawachukua watu kutoka katika jeshi lao

 ili waweze kuwatumikia kwa kipindi kirefu.

Havintishi amebainisha hayo ikiwa zimebakia siku chache vumbi kuanza kutimuka katika michuano ya Ligi kuu Tanzania Bara kwa mwaka 2017/2018.

"Sasa hivi tunapunguza raia kutoka 10 mpaka watano,kikubwa tunachotaka tunachokifanya ni kutengeneza zaidi 'under 20' ndiyo ambayo itatupa dira ya mfumo wetu mzima wa timu. Kwa sababu mfumo wetu wa timu sasa tunataka tuwe tunawatumia askari wetu na raia tutabaki nao wachache kama wanne tu, sasa hivi tunatengeneza vijana ili watutumikie kwa muda mrefu zaidi", amesema Havintishi.

Pamoja na hayo, Havintishi amesema watambana wakiwa na wachezaji wao wenye chini ya umri wa miaka 20 bila ya kuwa na wasiwasi wa aina yoyote katika ligi kuu kwa sababu tayari wameshawajenga vizuri.

Kwa upande mwingine, Katibu huyo amewataja wachezaji ambao wametemwa katika kikosi hicho ni pamoja na Victor Hangaya ambapo katika msimu uliyopita aliweza kuwafunga Simba mabao 2 pamoja na Mohamed Samatta.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine