Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzania yafuzu michuano ya dunia

Tuesday , 21st Feb , 2017

Timu ya Tenisi ya Walamavu ya Tanzania imefanikiwa kufuzu kushiriki michuano ya Dunia BNP Paribas baada ya kuifunga Kenya kwa Seti 2-0 katika mchezo wa Fainali wa mashindano ya kufuzu ya Afrika yaliyofanyika nchini Kenya.

Timu ya Tennis walemavu wakati ikiagwa Tanzania kuelekea nchi Kenya kwa ajili ya mashindano hayo

Kocha Mkuu wa Timu hiyo Riziki Salum amesema, wamefurahi kuibuka na ushindi na kufanikiwa kuiwakilisha Afrika kwa upande wa wanaume katika michuano ya Dunia.

"Mashindano yalikuwa na ushindani mkubwa kutokana na timu nyingi kujipanga na ukizingatia sisi hatuna maandalizi ya kutosha lakini kujituma kwa wachezaji kumetufanya tuibuke kidedea," amesema.

Salum amesema, kwa upande wa timu ya wanawake imefanikiwa kuibuka na ushindi wa pili baada ya kufungwa na Kenya.

Kocha Riziki Salum

"Nawashukuru wachezaji wangu kwa moyo wao wa kujituma kila tunaposhiriki mashindano makubwa bila kujali hali tunayopitia na naamini tutakaporudi nyumbani tutafanya maandalizi ya kutosha kuelekea michuano ya dunia," amesema.

Kocha Riziki aliwataja wachezaji walioshiriki mashindano hayo kuwa ni Novatus Temba, Juma Hamis, Jumanne Nassor huku kwa upande wa wanawake wakiwa ni Rehema Seleman na Lucy Julius.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine