Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TFF yakagua uwanja ligi ya wanawake

Friday , 23rd Feb , 2018

Shirikisho la soka nchini TFF kupitia kwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF kutoka Kanda namba 5 ya mikoa ya Kigoma na Tabora, Issa Mrisho Bukuku imekagua uwanja wa Lake Tanganyika.

Uwanja huo umekaguliwa kwaajili ya kutumika katika mchezo wa ufunguzi wa hatua ya nane bora ya Ligi ya wanawake nchini ambao utazikutanisha timu za Kigoma Sisters na Simba Queens utachezwa Februari 25, 2018.

Mbali na Mrisho Bukuku ambaye ni Mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Kigoma, lakini pia viongozi wengine wa TFF wameambatana na kukagua uwanja huo. Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dr.Harrison Mwakyembe atakuwa mgeni rasmi kwenye mchezo huo.

Ukaguzi huo wa uwanja umekuja ikiwa ni siku moja tu tangu Rais wa FIFA Gianni Infantino aongoze mkutano mkuu wa kikanda wa FIFA uliofanyika jana jijini Dar es salaam huku moja ya masuala yaliyojadiliwa ni maendeleo ya soka la wanawake.

Wakati huohuo Kozi ya makocha wa kozi ya Grassroots kwa watoto wenye umri wa miaka 6-12, Wasichana na Wavulana imeanza Jumatano na inaendelea kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika,Ujiji,Kigoma.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali