Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

VIDEO: Nina usongo sana na Simba Vs Yanga - Sirro

Thursday , 23rd Feb , 2017

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Simon Sirro amewaonya mashabiki wapenda fujo kukaa nyumbani na kutazama mpira wa watani wa jadi (Simba na Yanga) unaotarajiwa kuchezwa Jumamosi ya tarehe 25 katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es salaam.

CP Simon Sirro

Akizungumza kwenye kipindi cha EA Breakfast leo Kamishna Sirro amewataka wazazi kuwaonya watoto wao ikiwa ni pamoja na wanawake kuwaonya waume zao kutokwenda kuangalia mchezo huo uwanjani na ikibidi wabaki nyumbani ili kuepuka mkono wa dola pale watakapokutwa na makosa ya ufanyaji fujo.

Wakati huo huo Sirro amezidi kusisitiza kwamba ulinzi uliopangwa kuwepo kuzunguka kiwanja cha mpira ni mkubwa hivyo watu waliodhamiria kuliabisha jeshi la polisi kwa kuvunja viti kama walivyofanya mchezo uliopita waendelee na mipango yao hiyo.

  "Wale waliovunja watataka kurudia tena, sasa naomba warudie tena ili niwashikishe adabu, na kama mama unampenda mwanao au wewe mke unampenda mumeo na unafahamu ni wapenda fujo ni afadhali ukamshauri aangalie mpira akiwa nyumbani asiende uwanjani akapata matatizo... Nasema nina usongo sana na watakaofanya vurugu". Alisisitiza Kamishna Sirro.

Huyu hapa Sirro akianza na kilichotokea katika mchezo uliopita kati ya Simba na Yanga

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine