Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wachezaji Man United walifurahia kupangwa na Barca

Tuesday , 9th Apr , 2019

Beki wa Manchester United, Chris Smalling amesema kuwa yeye na wachezaji wenzake walifurahia kupangwa na Barcelona katika mchezo wa Robo Fainali ya Klabu Bingwa Ulaya.

Man United na Barcelona

Manchester United waliwashangaza wadau wa soka duniani waliokuwa wakiamini hawana uwezo wa kusonga mbele katika hatua ya mtoano, baada ya kupindua matokeo dhidi ya PSG katika mchezo wa marudiano Jijini Paris.

Vijana hao wa Ole Gunnar Solskjaer waliweka historia kwenye historia ya Klabu Bingwa Ulaya kuwa klabu ya kwanza kukubali kufungwa mabao 2-0 nyumbani kisha kupindua ugenini na kufuzu hatu ainayofuata.

Kufuatia muendelezo huo, Smalling amesema kuwa yeye na wachezaji wenzake walikuwa wakihitaji aina ya timu hiyo waliyopangiwa.

"Katika droo zetu zote msimu huu, iwe ni FA au Klabu Bingwa, hatujawa na droo rahisi lakini tumefanikiwa kuzivuka timu zote tulizopangwa nazo", amesema Smalling.

"Baada ya mchezo na PSG, tulijua kuwa tunaweza kwenda kukutana na timu kubwa na tukapata ushindi. Macho yetu yote sasa ni juu ya mchezo unaokuja mbele yetu, tutakabiliana nao".

"Tulikuwa tukipasha katika baiskeli wakati wa gym . Kwa kawaida tunafanya mazoezi dakika 10 kwenye baiskeli na baadaye katika gym, tuliiona droo katika TV na tulifurahi ", ameongeza.

Manchester United na Barcelona zitakutana kesho Jumatano katika dimba la Old Trafford.

Bonyeza hapa chini kutazama zaidi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali