Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanyama amtabiria makubwa Samatta

Saturday , 24th Jun , 2017

Mchezaji wa Kimataifa wa kutoka Kenya anayechezea klabu ya Tottenham Hotspurs, ya ligi kuu ya soka nchini Englad, Victor Wanyama, amesema endapo Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta ataongeza bidii anaweza kwenda kuchezea Ligi Kuu ya Uingereza.

Mchezaji Victor Wanyama

Wanyama ameeleza hayo kupitia kipindi cha FNL kutoka EATV usiku wa kuamkia leo na kusema Samatta ameweza kufungua njia kwa wachezaji wa Tanzania na endapo ataendelea kufanya vizuri basi atakuwa amejiweka katika nafasi nzuri ya kuzidi kucheza mpira kimataifa zaidi.

"Samatta amefungua njia kwa hapa Tanzania kwa hiyo wachezaji wengine wakipata nafasi wasikate tamaa, msimu huu Samatta amefanya vizuri sana na kama ataendelea kufanya vizuri katika msimu ujao basi atakuwa na nafasi ya kucheza Ligi kuu ya Uingereza. Anachotakiwa kufanya ni kutia tu bidii zaidi" alisema Wanyama.

                                                            Mchezaji Mbwana Samatta

Pamoja na hayo, Wanyama amewataka wachezaji wa Tanzania na Afrika Mashariki kiujumla kuacha kukata tamaa mapema kwa kile wanachokihaingaikia katika masuala mazima ya mpira.

"Wachezaji wa huku tunakata tamaa mapema na kuridhika haraka, kama mchezaji ukitaka kufanikiwa unatakiwa ku-focus katika mpira tu, usichanganye na mambo mengine" alisisitiza Wanyama.

 

 

 

 

 

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine