Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga kuvunja au kusaka rekodi ya 10 leo

Tuesday , 22nd May , 2018

Klabu ya soka ya Yanga leo itashuka dimbani kucheza na timu ngumu zaidi kuwahi kukutana nayo katika misimu ya hivi karibuni, Mbao FC ambayo haijawahi kuifunga tangu ipande daraja mwaka 2016.

Yanga ambayo haijaonja ushindi katika mechi zake 9 zilizopita katika mashindano yote, leo itakuwa wenyeji wa Mbao FC kwenye uwanja wa taifa huku ukiwa ni mchezo wa raundi ya 28 kwa Yanga na raundi ya 29 kwa Mbao FC.

Wakai Yanga inatafuta ushindi wake wa kwanza katika mechi 9 zilizopita pia itakuwa inatafuta kuishusha Azam FC katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi hivyo inahitaji ushindi ili kurudisha imani kwa mashabiki na morali kwa wachezaji.

Kwa upande wa Mbao FC ambao wao wanapigana kuhakikisha wanakwepa kushuka daraja pia watakuwa wanajitahidi kulinda heshima yao ya kutofungwa na Yanga tangu wapande ligi kuu msimu wa 2016/17.

Kwasasa Yanga inashika nafasi ya tatu ikiwa na alama 48, nyuma ya Azam FC yenye alama 52 na Simba yenye alama 68. Mbao FC ina alama 30 katika nafasi ya 13 ambapo inahitaji kushinda ili kuendelea kujihakikishia kusalia kwenye ligi kuu.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90