Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga walivyoupokea ubingwa

Sunday , 21st May , 2017

Wachezaji wa klabu ya Yanga wameonekana kujawa na furaha sana baada ya kuchukua ubingwa kwa mara ya 3 mfululizo ikiwa ni ubingwa wa 27 tangu klabu hiyo kuanzishwa mwaka 1935.

Saimon Msuva (Kushoto) na Thaban Kamusoko.

Yanga walikabindhiwa kombe la ushindi jana Jijini Mwanza baada ya mechi dhidi ya Mbao FC licha ya kuwa Mbao waliwafunga goli 1-0.

Baadhi ya wachezaji wa klabu hiyo wametoa shukrani kwa mashabiki na kwa watu wote ambao kwa namna moja au nyingine walikuwa pamoja na kuchangia mafanikio hayo katika msimu huu.

"Naishiwa maneno ila najua nguvu kubwa ni nyinyi Mashabiki zetu, Asanteni na Hongereni Pia Kwa Ubingwa pamoja we can" - Saimon Msuva.

"Katika maisha yangu ya mpira, namshukuru Mungu kwani nimeweza kucheza Tanzania misimu 6, na nimeweza kuchukua ubingwa mara 4, ila nimechukua ubingwa mara 3 mfululizo" - Haruna Niyonzima

"YANGA 27 TIMES CHAMPIONS" - Thaban Kamusoko.

"It has been a long journey thank you all especially for all u done for me" - Donald Ngoma.

Yanga wameshawasili Jiji Dar es Salaam, ni sherehe na furaha zinaendelea Jangwani.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali