Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yatoa utaratibu

Tuesday , 13th Mar , 2018

Kuelekea mchezo wa marejeano wa ligi ya Mabingwa Barani Afrika kati ya wenyeji Township Rollers ya Botswana na Yanga SC, idadi ya tiketi kwa timu ngeni imetolewa.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na klabu ya Yanga ambayo kikosi chake kimeondoka nchini leo kuelekea Gaborone, imeeleza kuwa kuna jumla ya tiketi 150 ambazo mashabiki wa mabingwa hao wa soka wa Tanzania wataingia uwanjani.

Mchezo huo unatarajiwa kupigwa Jumamosi hii Machi 17 kwenye uwanja wa taifa wa Botswana ambao una uwezo wa kuingiza mashabiki elfu 22,000. Uwanja huo upo katikati ya jiji la Gaborone.

Kikosi cha Yanga kilichoondoka alfajiri ya leo kinaundwa na wachezaji 20  pamoja na viongozi 11 ambao wote kwa pamoja watakuwa na jukumu la kusaka ushindi wa kuanzia 2-0 au zaidi ili kupata nafasi ya kuingia hatua ya makundi.

Township Rollers ambayo ilishinda 2-1 kwenye mchezo wa kwanza, inashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu ya nchini humo, ikiwa na alama 46 katika mechi 20 sawa na Yanga yenye alama 46 katika mechi 21.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu