Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yazungumzia usajili mpya wa kikosi chake

Tuesday , 16th Oct , 2018

Uongozi wa klabu ya soka ya Yanga umefunguka kuhusiana na usajili wa timu yake dirisha dogo la usajili ya mwezi Disemba kwaajili ya kuimarisha kikosi kabla ya mzunguko wa pili kuanza.

Yanga ikiwa mazoezini

Katika mahojiano na www.eatv.tv, Katibu mkuu wa Yanga, Omar Kaaya amesema kuwa wao kama uongozi wa klabu hawana mamlaka rasmi ya kuamua nani anayetakiwa kusajiliwa.

Siwezi kulizungumzia hilo, liko chini ya mwalimu, ukifika muda husika ataleta majina ya wachezaji wa kuongeza au kama ataona hakuna umuhimu huo, amesema.

 “Lakini sasa ni mapema sana kulizungumzia kwasababu inategemea na ripoti ya mwalimu  itakapofika, sasahi ni mapema mno ”, ameongeza Kaaya.

Pia Katibu mkuu huyo amesema wachezaji walio majeruhi ni Juma Mahadhi pekee, Andrew Vicent ‘Dante’ na Juma Abdul wako vizuri na wanaweza kurejea dimbani muda wowote.

Yanga inatarajia kucheza na Alliance Fc ya Mwanza wikiendi hii katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara, mchezo utakaopigwa katika  uwanja wa taifa. Azam Fc inaongoza ligi mpaka sasa kwa alama 18 baada ya kushuka dimbani michezo nane huku nafasi ya pili ikishikiliwa na Mtibwa Sugar kwa alama zake 17 na Yanga ikiwa katika nafasi ya tatu kwa alama 16.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine