HANCE PASTORY
Jina La Utani:
HANCE POP
Jina La Kikundi:
Mchango Katika Kundi:
KUTOA USHAURI KWENYE KUNDI

Nimezaliwa mwaka 1991 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM

Mimi ni mtoto wa 3 katika familia ya watoto 3

Ninaishi KIGAMBONI na WAZAZI

Mtaani kwangu najulikanakwa HANCE POP 

Mimi nimesoma mpaka DARASA LA 7

Shughuli zangu za kila siku ( zaidi ya kucheza dansi) KAZI YOYOTE NAFANYA

Mafanikio katika Fani: 
Bado sijapata mafanikio makubwa ila napata chochote kitu ata kama kidogo ambacho kina nisaidia kwenye mahitaji yangu madogo.
Year: