
Kwenye taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Serikali ambayo imeelezea jinsi Rais alivyoguswa na kusikitishwa na vifo hivyo, na kuwafariji wafiwa katika kipindi hiki kigumu.
"Nimehuzunishwa na kusikitishwa sana na vifo hivi, nawapa pole wafiwa wote na nawaombea marehemu wapumzike mahali pema, na majeruhi wapone haraka ili waweze kuungana na familia zao na kuendelea na shughuli zao za kila siku", imeandika taarifa hiyo.
Isome hapa taarifa yote
