Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mo Dewji ajitolea Simba, Mwakyemba afafanua

Monday , 5th Aug , 2019

Menyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu ya Simba Mohammed Dewji, amesema kuwa ujenzi wa uwanja wa Bunju katika awamu ya kwanza, atagharamikia yeye mwenyewe.

Waziri Mwakyembe akipeana mkono na Mohammed Dewji baada ya kuweka jiwe la msingi.

Mo Dewji amebainisha hilo leo wakati wa uwekaji jiwe la Msingi katika ujenzi huo, ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe.

''Mimi kama mwanachama na shabiki wa Simba nimeamua kutoa pesa zangu mfukoni kwaajili ya ujenzi wa awamu ya kwanza ya Bunju Complex, na hizi hazihusiani na zile tulizokubaliana kwenye uwekezaji'', amesema Mo Dewji.

Kwa upande wake Dkt. Harrison Mwakyembe amesema kuwa wanasimba na vilabu vingine wanatakiwa kuendelea na zoezi la uwekezaji huku kanuni zikiendelea kuandaliwa na hakuna atakayekiuka.

''Timu ya Simba SC waliniomba waendelee nikawakubalia wakati ambao tunatengeneza kanuni na niwahakikishie zitafuatwa na zisitumike kuharibu hamasa, hata kwenye timu zingine karibuni muwekeze'', ameeleza Mwakyembe.

Aidha amewataka wanasimba kuwaunga mkono viongozi wao pamoja na juhudi zote za ujenzi wa uwanja wa Bunju Complex hata kama hawana pesa za kutosha wanaweza kujitolea kwa kazi zinazohitaji nguvu ili kukamilisha jambo hilo la kihistoria.

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine