Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Uwoya alitaka kuniharibia ndoa yangu"- Mwijaku

Friday , 9th Aug , 2019

Msanii wa filamu na tamthilia Mwijaku, ameeleza sababu ya yeye kutupiana maneno katika mitandao ya kijamii na msanii mwenzake Irene Uwoya.

Mwijaku amesimulia hayo kupitia EATV & EA Radio Digital baada wawili hao kujibizana kwa maneno katika mtandao kijamii wa Instagram hivi karibuni.

Si unajua sisi wanaume bwana, kabla sijaoa nilikuwa napenda kutongoza,sasa kile kitendo kilinifanya kujichomeka mahali, kwa hiyo kwa ile tabia alitaka kuweka wazi ili kuniharibia ndoa yangu kwa sababu ya kutongoza na kumtongoza na yeye”, amesema Mwijaku.

Aidha Mwijaku ameeleza kuwa Irene Uwoya hawezi kumuharibia kwa sababu kutongoza kwa wanaume ni jambo la kawaida na amekataa kusema kama alikubaliwa au alikataliwa baada ya kumtongoza Irene.

Irene Uwoya aliwahi kumuonya Mwijaku kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram kwa akisema kuwa asimfuatilie maisha yake kwa sababu hapendi maneno na ana maovu yake mengi anayoyajua.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu