Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikk ataja sababu Mastaa kuwachunia mashabiki

Wednesday , 21st Aug , 2019

MwanaHipHop kutokea kundi la Weusi Nikki Wa Pili, ameeleza sababu ya watu maarufu kupenda kujibu maoni 'Comments' za watu maarufu wenzao, kupitia mitandao ya kijamii, tofauti na watu wa kawaida.

Nikki Wa Pili ameeleza hayo baada ya kuandika katika mtandao wa kijamii wa Twitter  kuwa

Nimewahi kuona watu wakishambulia watu maarufu mitandaoni, kuwa wanajibu comment za watu maarufu wenzao, kiukweli bora wajibu hizo sababu inakua ni maongezi yenye staha, watu wengine hawana ustaarabu au wanatafuta vijisifa au hawajui kutawala, hisia zao yaani nivichekesho

Baada ya kuandika hivyo kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter Nikki Wa Pili alishambuliwa na watu kwa maneno kwa lugha chafu huku wakisema,

"Si sawa kwa watu maarufu kufanya hivyo, kwa sababu wakitaka kusaidiwa wanawaomba watu wa kawaida na sio watu maarufu wenzao, kwa pia watu wa kawaida wapo wengi kuliko watu maarufu” aliandika moja ya watu ambao ni wanamfuatilia kwenye ukurasa wake.

Msanii huyo kwa sasa hivi amekuwa akijiachia zaidi katika mitandao ya kijamii, akimuonesha mpenzi wake Miss Joan 'Mama Zuri'.

HABARI ZAIDI

Bajaji iliyotumika kubeba dawa za kulevya

Mtuhumiwa wa dawa za kulevya na mauaji mbaroni

Profesa Adolf Mkenda, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia

Mkakati mpya wa kuajiri walimu watangazwa Tanzania

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaabani, akiagana na Waziri wa Kodi wa Denmark, Mhe. Jeppe Bruus, baada ya kikao kando ya Mikutano ya Mwaka 2024 ya Bodi ya Magavana (Mawaziri wa Fedha kutoka nchi wanachama) wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Jijini Nairobi nchini Kenya.

Tanzania & Dernmark zitaboresha ya mifumo ya kodi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi