Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rihanna na Drake tena!!

Saturday , 7th Sep , 2019

Ni takribani miaka mitatu imepita tangu tuipate Albamu ya Rihanna ya mwisho kutoka ilikuwa ni 'Anti' iliyokuwa na singo kali kama Work, Kiss It Better, Needed Me, Love On The Brain na nyingine nyingi.

Rihanna na Drake

Sasa huenda kabla mwaka huu haujaisha tunaweza kupata Albamu mpya. kutoka kwake mwezi ukitajwa ni Disemba katika tarehe za mwanzo inaweza ikaachiwa.

Hayo yametajwa na mkuu wa lebo ya Universal Music Group (UMG) nchini Ufaransa, Olivier Nusse katika ufunguzi wa tamasha la Open Session, lililofanyika Ijumaa ya tarehe 06 ambalo hufanyika kila mwaka nchini humo likisimamiwa na UMG.

Olivier alitaja orodha ya albamu ambazo zitaachiwa na Lebo hiyo kabla ya mwaka huu kuisha huku majina ya Rihanna na Drake  yakiwemo ndani.

Mwanzoni mwa mwaka huu Rihanna katika moja ya mahojiano alisema juu ya ujio wa albamu ambayo anatamani kuiachia lakini kuna vitu anaona havijakaa vizuri sababu anataka kuleta kitu cha utofauti.

"Sioni sababu ya kuileta haraka lakini nataka itoke, kwa ambapo nimefikia naona ni pazuri lakini kwa sasa jinsi nilivyo hata kama nitakosa muda wa kushuti video nitaachia albamu kwanza," aliongea.

Wasanii wengine wakali ukimtoa Rihanna na Drake ambao albamu zao zinatarajiwa kuachiwa mwaka huu kabla hujaisha ni Kanye West, Migos na The Weeknd.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali