Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lulu Diva anamzidi miaka 10 Harmorapa

Wednesday , 11th Sep , 2019

Wiki iliyopita ilitrend habari inayomhusu msanii Lulu Diva baada ya kuhojiwa kwenye kipindi cha KIKAANGONI na kusema kwa sasa ana umri wa miaka 19 na atarajiwa kuolewa akifikisha miaka 25.

Harmorapa na Lulu Diva

Leo limeibuka lingine katika kusheherekea siku ya kuzaliwa kwa msanii Harmorapa ambaye ameandika kuwa amefikisha umri wa miaka 9 ikiwa ni miaka 10 pungufu ya Lulu Diva.

Harmorapa ameweka wazi kwamba ana umri huo baada ya kupost picha katika mtandao wa kijamii kisha kuandika,

"Namshukuru Mungu siku kama ya leo mwaka 2011 nilizaliwa kijana wenu Athumani Omary a.k.a supa staa Harmorapa, nawaomba muungane kunitakia kheri ya kusheherekea kwa kutimiza miaka 9 ya kuzaliwa".

Tulijaribu kumtafuta Harmorapa ili alitolee ufafanuzi kwa nini aliandika ana miaka 9 hali ya kuwa anaonekana mkubwa kuliko umri huo lakini hatukuweza kumpata.

Aidha rapa Nikki Wa Pili aliwahi kusema sababu za mastaa kudanganya umri zinatokana na kibiashara zaidi au mtu anaweza akakujaji kutokana na umri wako.

Usikose KIKAANGONI leo ambapo atakuwepo Amber Lulu. Kipindi kinaruka 'LIVE' katika kurasa za mitandao ya kijamii ya Facebook na YouTube jina East Africa Television, ni kuanzia saa 8:30 hadi 9:30 mchana.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali